Kipaimara

Askofu akitoa Kipaimara. Mchoro wa Rogier van der Weyden, Sakramenti saba, karne ya 15.


Kipaimara ni ibada ya madhehebu mbalimbali ya Ukristo inayolenga kumthibitisha mwamini katika kumfuata Yesu kwa uweza wa Roho Mtakatifu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy