Kirgizia

Кыргыз Республикасы
Kyrghyz Riespublikasy
Кыргызская Республика
Kyrgyzskaya Respublika
Kyrgyz Republic Кыргызстан
Kirgizia
Bendera ya Kirgizia Nembo ya Kirgizia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Wimbo la Taifa la Kirgizia
Lokeshen ya Kirgizia
Mji mkuu Bishkek
42°52′ N 74°36′ E
Mji mkubwa nchini Bishkek
Lugha rasmi Kikirgizi, Kirusi
Serikali Jamhuri
Sadyr Japarov
Akylbek Japarov
Uhuru
ilitangazwa
Ilikamilishwa


31 Agosti 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
199,951 km² (ya 87)
3.6
Idadi ya watu
 - 2020 kadirio
 - 2009 sensa
 - Msongamano wa watu
 
6,586,600 (ya 110)
5,362,800
27.4/km² (ya 176)
Fedha Som ya Kirgizia (KGS)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
KGT (UTC+6)
(UTC)
Intaneti TLD .kg
Kodi ya simu +996

-



Kirgizia (pia Kirgizstan, Kirigizistani au Kigistani; kwa Kikirgizi: Кыргызстан (Kyrghyzstan); kwa Kirusi: Киргизия (Kirgizia)) ni nchi ya Asia ya Kati.

Imepakana na Kazakhstan, Uzbekistan, Tajikistan na China.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy