Kiurdu

Lashkari Zaban ("lugha ya kambi ya jeshi" au "Lugha ya Hordish") katika hati ya Nastaliq

Kiurdu (pia hujulikana kama Lashkari imeandikwa لشکری[1]) ni aina ya lugha ya Kihindi iliyosanifiwa.

Ndiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).

Kwa kawaida kinaandikwa kwa herufi za Kiarabu kutokana na uhusiano wake na dini ya Uislamu.

Wanaokitumia kama lugha mama ni watu milioni 65.

  1. Khadija Shakeel, Ghulam Rasool Tahir, Irsha Tehseen, Mubashir Ali, "A framework of Urdu topic modeling using latent dirichlet allocation (LDA)", Computing and Communication Workshop and Conference (CCWC) 2018 IEEE 8th Annual, pp. 117-123, 2018.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy