Kombe-kikonyo

Kombe-kikonyo
Mfano wa kombe-kikonyo (Lingula anatina)
Mfano wa kombe-kikonyo (Lingula anatina)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia
Nusuhimaya: Eumetazoa
Faila ya juu: Lophotrochozoa
Faila: Brachiopoda
Duméril, 1806
Ngazi za chini

Nusufaila 3, ngeli 3:

Kombe-kikonyo ni wanyama wa bahari wa faila Brachiopoda walio na makombe mawili, moja mgongoni na moja tumboni, na kikonyo kinachotumika kujiambatisha kwenye uso wa chini. Katika kombejozi kila kombe liko kwa ubavu. Makundi fulani ya kombe-kikonyo, kama vile familia Craniidae, hayana kikonyo na hujiambatisha mara kwa mara kwa uso wa chini.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy