Kosovo

Bendera ya Kosovo
Ramani ya Kosovo

Kosovo (kwa Kialbania: Kosovë au Kosova, kwa Kiserbokroatia na herufi za Kikirili: Косово и Метохија, kwa alfabeti ya Kilatini: Kosovo i Metohija) ni nchi ndogo ya Balkani katika Ulaya ya kusini-mashariki. Imepakana na Serbia, Masedonia Kaskazini, Albania na Montenegro.

Mji mkuu ni Prishtina.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy