Kuvu

Kuvu (Fungi)
Kuvu kwenye matunda yanayooza
Kuvu kwenye matunda yanayooza
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Fungi
Ngazi za chini

Faila, nusufaila

Blastocladiomycota
Chytridiomycota
Glomeromycota
Microsporidia
Neocallimastigomycota

John Carroll Dikarya (inc. Deuteromycota)

Ascomycota
Pezizomycotina
Saccharomycotina
Taphrinomycotina
Basidiomycota
Agaricomycotina
Pucciniomycotina
Ustilaginomycotina

Nusufaila Incertae sedis

Entomophthoromycotina
Kickxellomycotina
Mucoromycotina
Zoopagomycotina

Kuvu (jina la kisayansi kWa Kilatini: Fungi) ni kiumbehai ambacho si mmea wala mnyama. Uainishaji wa kisayansi unavipanga katika himaya ya pekee ndani ya Eukaryota. Kati ya kuvu kuna viumbe vikubwa kama uyoga na pia vidubini yaani vidogo vyenye seli moja tu kama hamira au maungano ya seli kama koga.

Utaalamu wa kuvu unaitwa mikolojia.

Kuvu zinatokea kwa namna mbalimbali


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy