Lafudhi

Lafudhi ni namna ya pekee ya kutamka lugha kutokana na lugha ya mwanzo/awali ya mzungumzaji au eneo alipojifunza lugha.

Mara nyingi watu wanaweza kusikia kutokana na matamshi kama msemaji ni mgeni kutoka nchi fulani au kama anatokea mji fulani kama ni mwenyeji.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy