Liberia

Republic of Liberia
Bendera ya Liberia Nembo ya Liberia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: The love of liberty brought us here (Upendo wa uhuru ulituleta hapa)
Wimbo wa taifa: All Hail, Liberia, Hail!
Lokeshen ya Liberia
Mji mkuu Monrovia
6°19′ N 10°48′ W
Mji mkubwa nchini Monrovia
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Jamhuri
Joseph Boakai
Jeremiah Koung
Ilianza
• Tarehe
na ACS
26 Julai 1847
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
111,369 km² (103rd)
13.514%
Idadi ya watu
 - Julai 2023 kadirio
 - 2008 sensa
 - Msongamano wa watu
 
5,506,280 (120th)
3,476,608
35.5/km² (180th)
Fedha dola ya Liberia (LRD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC)
- (UTC)
Intaneti TLD .lr
Kodi ya simu +231

-



Liberia (yaani Nchi ya watu huru kwa Kilatini) ni nchi iliyoko Afrika ya Magharibi. Imepakana na nchi za Ivory Coast, Guinea, na Sierra Leone.

Ni mojawapo ya nchi za Afrika ambazo hazikutawaliwa na Wazungu. Hata hivyo watu wa Liberia huongea Kiingereza sana.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy