Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya

Ukaguzi wa Wayahudi waliotoka katika treni katika Auschwitz mnamo Mei-Juni 1944
Watu wenye vazi ya kijeshi ni wanaSS; wenye nguo za milia ni wafungwa wa kambi waliochaguliwa kupokea mizigo; wenye nguo ya kiraia ni watu Wayahudi walioondoka sasa hivi katika treni; mbele wakinamama na watoto watakaopelekwa mara moja kwenye vyumba vya gesi; nyuma wanaume watakaoangaliwa na madaktari kama wanafaa kwa kazi au la; picha za aina hii zilipigwa na wanaSS kama kumbukumbu ya binafsi

Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya (kwa Kiingereza/Kigiriki: Holocaust, kwa Kiebrania Shoah השואה) yalikuwa mauaji ya Wayahudi milioni 5-6 wa Ulaya wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia kati ya miaka 1940 na 1945. Mauaji hayo yalipangwa na kutekelezwa na serikali ya Ujerumani chini ya Adolf Hitler kwa msaada wa serikali za nchi zilizofungamana na Ujerumani au zilizokuwa chini ya jeshi la Ujerumani.

Mauaji hayo yalitekelezwa kwa njia ya


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy