Malaysia

مليسيا
Malaysia
Bendera ya Malaysia Nembo ya Malaysia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Bersekutu Bertambah Mutu
("Umoja ni nguvu")
Wimbo wa taifa: "Negaraku"
Lokeshen ya Malaysia
Mji mkuu Kuala Lumpur1
3°08′ N 101°42′ E
Mji mkubwa nchini Kuala Lumpur
Lugha rasmi Kimalay
Serikali
Yang di-Pertuan Agong (Mtawala Mkuu)
Waziri Mkuu
Shirikisho, Ufalme
Abdullah al-Haj
Ismail Sabri Yaakob
Uhuru
kutoka Uingereza (Shirikisho la Kimalay pekee)
Shirikisho (na Sabah, Sarawak na Singapore2)

31 Agosti 1957
16 Septemba 1963
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
330,803 km² (ya 67)
0.3
Idadi ya watu
 - 2019 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
32,772,100 (ya 42)
28,334,135
92/km² (ya 116)
Fedha Ringgit (RM) (MYR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MST (UTC+8)
-- (UTC+8)
Intaneti TLD .my
Kodi ya simu +60
1 Putrajaya ni makao makuu ya serikali
2 Singapore ilikuwa nchi ya pekee tar. 9 Agosti 1965.


Ramani ya Malaysia.

Malaysia ni nchi ya Asia ya kusini-mashariki kando ya Bahari ya Kusini ya China.

Ina sehemu mbili ambazo ni:

Upande wa rasi Malaysia imepakana na Uthai na Singapore. Sehemu ya Borneo imepakana na Brunei na Indonesia.

Kisiasa Malaysia ni shirikisho la majimbo 13 na maeneo ya shirikisho 3.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy