Malcolm Guthrie

Malcolm Guthrie (10 Februari 1903 - 22 Novemba 1972) alikuwa profesa wa Lugha za Bantu.

Anajulikana kwa uchambuzi wa Lugha za Kibantu katika makala ya Guthirie 1971, ambayo yamebaki makala muhimu hadi leo ingawa yamezeeka.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy