Manaus | |
Majiranukta: 3°06′00″S 60°01′00″W / 3.10000°S 60.01667°W | |
Nchi | Brazil |
---|---|
Kanda | North |
Jimbo | Amazonas |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,738,641 |
Tovuti: www.manaus.am.gov.br |
Manaus ni jina la mji mkuu wa jimbo la Amazonas, nchini Brazil. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2009, mji huu uikuwa na wakazi wapatao milioni 1.7. Mji huu upo mita 92 juu ya usawa wa bahari.