Mariah Carey

Mariah Carey
Mariah Carey, mnamo Mei 2013
Mariah Carey, mnamo Mei 2013
Maelezo ya awali
Amezaliwa 27 Machi 1969 (1969-03-27)[1]
Aina ya muziki R&B, pop, hip hop,[2] dance[3]
Kazi yake Singer, songwriter, model, record producer, actress
Aina ya sauti Alto[4]
Miaka ya kazi 1988–hadi sasa
Studio Columbia, Virgin, MonarC, Island
Tovuti www.mariahcarey.com

Mariah Carey (alizaliwa 27 Machi 1969) ni mwanamuziki, mtunzi, mtayarishaji na mwigizaji wa Marekani.

Alitengeneza albamu yake iliyofanya vizuri katika masoko mbalimbali na chati mbalimbali mwaka 1990, chini ya studio ya Columbia Records chini ya Tommy Mottola na kuwa mwanamuziki wa kwanza wa kike kufikisha wimbo katika nafasi ya kwanza nchini Marekani. Hii ikiwa ni chati ya Billboard Hot 100. Baada ya kuolewa na Mttola mwaka 1993, mfululizo wa nyimbo bora zilimfanya moja kati ya wanamuzki bora wa Columbia na pia alikuwa anaongoza katika mauzo ya albamu mbalimbali. Kwa mujibu wa gazeti la Billboard Carey alikuwa mwanamuzi mwenye mafanikio zaidi katika miaka yab 1990 nchini Marekani [5]

Kufuatia kuachana na Mottola mwaka 1997, Carey alianza kuingiza vionjo vya hip hop katika albamu zake, na kufanikiwa kwa wastani. Umaarufu wake aulianza kuisha baada ya kuondoka Columbia mwaka 2001. Baadae alisaini mkataba na studio ya Virgin Records lakini baadae aliachishwa kutoka katika studio hizo, hii ikiwa ni baada ya kupata matatizo ya akili yaliyotangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari, lakini pia ikiwa ni baada ya filamu yake ya Giltter kushindwa kufanya vizuri. Mwaka 2002 Carey alisaini mkataba na studio ya Island Records na baada ya kupata matokeo mabaya katika kipindi cha nyuma, hatimaye alirejea katika chati ya muziki wa pop,. hii ikiwa ni mwaka 2005.[6][7].

Carey ameuza nakala zaidi ya milioni 175, za albamu na single dunia nzima..[8][9][10] Carey alitajwa kuwa mwanamuziki wa kike anayeongoza katika mauzo kwa mwaka 2000, hii ikiwa ni katika tuzo za World Music Awards.[11]. Kwa mujibu wa Recording Industry Association of America, Akiwa ameuza nakala za albamu zaidi ya milioni 62.5, Carey ndiye mwanamuziki wa kike anayeongoza kwa mauzo nchini Marekani na kushika nafasi ya 16 kwa kuuza nakala nyingi zaidi ulimwenguni.[12] . Pia anatajwa kuwa mwanamuziki wa kike anayeongoza katika mauzo nchini Marekani katika wakati wa. Nielsen SoundScan [13]

Pia Carey aliongoza katika single za wanamuziki wanaoimba peke yao nchini Marekani.[14] kwa mwaka 2008. Carey alishika nafasi ya sita katika chati ya Billboard ya "The Billboard Hot 100 Top All-Time Artists", na kumfanya kushika nafasi ya pili kwa wanamuziki wa kike wenye mafanikio zaidi katika historia ya 'Billboard [15] Kama nyongeza katika mafanikio yake katika masoko mbalimbali, Carey pia amefanikiwa kupata tuzo za Grammy zipatazo tano. Pia anajulikana kwa sauti yake yenye uwezo wa kubadilika katika nyakati tofauti.

  1. "Recent Births Are Announced", April 10, 1969, p. 2-3. Retrieved on 2022-03-27. Archived from the original on 2021-03-03. "Recent births at Huntington Hospital have been announced as follows ….. March 27 Mariah, Mr. and Mrs. Alfred Carey, Huntington" 
  2. http://www.myspace.com/mariahcarey
  3. Ankeny, Jason. "allmusic ((( Mariah Carey > Overview )))". Allmusic. Macrovision Corporation. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2002-11-19. Iliwekwa mnamo 2009-10-22. {{cite web}}: Unknown parameter |= ignored (help)
  4. "Vision of Loneliness Archived 5 Septemba 2014 at the Wayback Machine." Entertainment Weekly. 25 Septemba 2008
  5. Shapiro, Marc. Mariah Carey (2001). pg. 145. UK: ECW Press, Canada. ISBN 1-55022-444-1.
  6. Lamb, Bill. "Mariah Carey- Comeback of the Year" Archived 15 Desemba 2007 at the Wayback Machine.. About.com. 4 Juni 2005. Retrieved 12 Machi 2008.
  7. Anderman, Joan. "Cary's On". The Boston Globe. 5 Februari 2006. Retrieved 12 Machi 2008.
  8. "Mariah's New Single Available At iTunes on Sept. 15th!". Island Def Jam Music Group. Iliwekwa mnamo 2008-10-13.
  9. "MARIAH CAREY's NEW SINGLE "I WANT TO KNOW WHAT LOVE IS" IMPACTS AT RADIO ON SEPT. 14th". Universal Music Group. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-07-17. Iliwekwa mnamo 2009-11-14.
  10. "CELEBRATE NEW YEAR'S EVE WITH MARIAH CAREY!". Mariah Carey official website. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-11-09. Iliwekwa mnamo 2009-11-14.
  11. "Winners of the World Music Awards". World Music Awards. Mei 2000. Retrieved 19 Novemba 2006 from the Wayback Machine; "Michael Jackson And Mariah Carey Named Best-Selling Artists Of Millennium At World Music Awards In Monaco" Archived 17 Juni 2010 at the Wayback Machine.. Jet. 29 Mei 2000. Retrieved 19 Novemba 2006.
  12. "Gold and Platinum - Top Selling Artists" Archived 1 Julai 2007 at the Wayback Machine.. Recording Industry Association of America
  13. "BLABBERMOUTH.NET - METALLICA Among Top-Selling Artists Of SOUNDSCAN Era". Roadrunnerrecords.com. Iliwekwa mnamo 2009-10-21.
  14. Pietroluongo, Silvio. Mariah, Madonna Make Billboard Chart History Archived 23 Oktoba 2008 at the Wayback Machine.. Billboard. 2 Aprili 2008. Retrieved 2 Aprili 2008.
  15. "Billboard Hot 100 Chart 50th Anniversary", Billboard. Retrieved on 2009-10-01. Archived from the original on 2008-09-13. 

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy