Mbeya (mji)


Jiji la Mbeya
Jiji la Mbeya is located in Tanzania
Jiji la Mbeya
Jiji la Mbeya

Mahali pa mji wa Mbeya katika Tanzania

Majiranukta: 8°53′24″S 33°25′48″E / 8.89000°S 33.43000°E / -8.89000; 33.43000
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Mbeya Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 541,603
Mkowa wa Mbea

Jiji la Mbeya ni mji mkubwa kusini-magharibi mwa Tanzania wenye hadhi ya jiji na msimbo wa Posta 53100.

Mbeya ni kitovu cha Nyanda za Juu za Kusini ambazo ni eneo la uzalishaji wa mazao mengi.

Ni makao makuu ya mkoa wa Mbeya.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy