Mfumo wa Jua

Sayari za Jua letu - majina kwa Kiingereza na Kiswahili (pamoja na sayari kibete Ceres)
Sayari nne kubwa ziliundwa hasa na gesi, nyingine ni sayari ndogo kama dunia yetu za mwamba.[1]

Mfumo wa Jua (en:solar system) ni mpangilio wa Jua letu, sayari na sayari kibete zinazolizunguka pamoja na miezi yao, asteroidi, meteoridi, kometi na vumbi la angani, vyote vikishikwa na graviti ya Jua.

Utaalamu kuhusu mfumo wa jua hujadiliwa katika fani ya astronomia.

  1. Hand, Eric (January 20, 2016).

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy