Minnesota

Sehemu ya Jimbo la Minnesota








Minnesota

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu St. Paul
Eneo
 - Jumla 225,171 km²
 - Kavu 206,189 km² 
 - Maji 18,981 km² 
Tovuti:  http://www.state.mn.us/

Minnesota ni kati ya majimbo ya kujitawala ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu wa jimbo ni Saint Paul na mukubwa jimboni ni Minneapolis. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na Kanada (Manitoba) na Ontario), Wisconsin, Iowa, South Dakota, na North Dakota. Upande wa maawio kuna la ziwa Superior. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 5,220,939 (2008) wanaokalia eneo la 225,365 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy