Mkoa wa Iringa

Mahali pa Mkoa wa Iringa katika Tanzania.
Mji wa Iringa.

Mkoa wa Iringa ni mojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 51000. Upo katikati ya nchi, kidogo upande wa kusini. Umepakana na mikoa ya jirani ya Morogoro, Njombe, Mbeya, Singida na Dodoma.

Makao makuu yako katika manisipaa ya Iringa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy