Mkoa wa Morogoro


Mkoa wa Morogoro
Mahali paMkoa wa Morogoro
Mahali paMkoa wa Morogoro
Mahali pa Mkoa wa Morogoro katika Tanzania
Majiranukta: 8°0′S 37°0′E / 8.000°S 37.000°E / -8.000; 37.000
Nchi Tanzania
Wilaya 8
Mji mkuu Morogoro
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa
Eneo
 - Jumla 73,039 km²
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 3,197,104
Tovuti:  http://www.morogoro.go.tz/
Mnara wa saa, Morogoro

Morogoro ni jina la mto, mji, wilaya na mkoa wa Tanzania.

Mkoa wa Morogoro ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye Postikodi namba 67000.

Umepakana na mikoa ya Tanga, Pwani, Lindi, Ruvuma, Iringa, Dodoma na Manyara.

Eneo lake ni km² 72 939, ambapo kuna wakazi 3,197,104 kadiri ya sensa ya mwaka 2022 [1] (kutoka 2,218,492 wa mwaka 2012). Hivyo Morogoro ni kati ya mikoa mikubwa na yenye wakazi wengi zaidi ya Tanzania.

  1. https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy