Moja

Mabadiliko katika namna ya kuandika moja.

Moja ni namba ya kwanza na inafuatwa na mbili. Kabla yake kuna sifuri tu. Kwa kawaida inaandikwa 1 lakini I kwa namba za Kiroma na ١ kwa zile za Kiarabu. Namba yoyote ikizidishwa kwa moja inabaki ileile.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy