Moroko

المملكة المغربية
Al Mamlakah al Maghribīyah
ⵜⴰⴳⵍⴷⵉⵜ ⵏ ⵍⵎⴰⵖⵔⵉⴱ
Tagldit N'Lmaġrib

Ufalme wa Moroko
Bendera ya Moroko Nembo ya Moroko
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: الله، الوطن،الملك
(Allāh, al Waţan, al Malik = Mungu, Taifa, Mfalme)
Wimbo wa taifa: Wimbo la Sharifa
Lokeshen ya Moroko
Mji mkuu Rabat
34°02′ Kas 6°51′ Magh
Mji mkubwa nchini Casablanca
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme wa kikatiba
Muhammad VI (محمد السادس, ⵎⵓⵃⵎⵎⴷ ⵡⵉⵙⵙ ⵚⴹⵉⵚ)
Aziz Akhannouch (عزيز أخنوش, ⵄⴰⵣⵉⵣ ⴰⵅⵏⵓⵛ)
Uhuru
- Kutoka Ufaransa
- Kutoka Hispania

2 Machi 1956

7 Aprili 1956

Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
446,550 km² (ya 58)
0.056
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
33,848,242 (ya 39)
73.1/km² (122)
Fedha Dirham (MAD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC (UTC+0)
UTC (UTC+0)
Intaneti TLD .ma
Kodi ya simu +212

-

Namba zote bila Sahara ya Magharibi


Ramani ya Moroko - mpaka wa kusini haueleweki kimataifa

Moroko (pia Maroko, kwa Kiarabu المغرب), au kirefu Ufalme wa Moroko (المملكة المغربية al-mamlaka al-maghribiya yaani "ufalme wa magharibi") ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Magharibi.

Imepakana na bahari za Atlantiki na Mediteranea; upande wa bara imepakana na Algeria na Mauretania.

Maeneo ya Kihispania ya Ceuta na Melilla yamezungukwa na Moroko kwenye pwani ya Mediteranea.

Mpaka wa kusini haueleweki vizuri kwa sababu Moroko inadai ya kwamba Sahara ya Magharibi ni sehemu ya eneo lake, hali isiyokubaliwa na jumuiya ya kimataifa tangu Moroko ilipovamia Sahara ya Kusini mwaka 1975.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy