Mtaguso wa Kalsedonia

Mtaguso wa Kalsedonia.

Mtaguso wa Kalsedonia (kwa Kiingereza: Council of Chalcedon) unahesabiwa na Wakristo wengi kuwa wa nne kati ya mitaguso ya kiekumene katika historia ya Kanisa.

Ulifanyika Kalsedonia (leo Kadıköy, sehemu ya jiji la Istanbul, Uturuki upande wa Asia) mwaka 451.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy