Mtwara | |
Mahali pa mji wa Mtwara katika Tanzania |
|
Majiranukta: 10°16′12″S 40°11′24″E / 10.27000°S 40.19000°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Mtwara |
Wilaya | Mtwara Mjini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 146,772 |
Mtwara ni mji wa Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mtwara wenye postikodi namba 63100 [1].
Mtwara ni mji wa bandari kando ya Bahari Hindi karibu na mpaka wa Tanzania na Msumbiji.
Kiutawala Mtwara ni wilaya ya Mtwara mjini, umeunganishwa pamoja na mji wa kihistoria wa Mikindani katika halmashauri ya manisipaa.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 146,772 [2]. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilikuwa 92,602 [3] .
{{cite web}}
: Unknown parameter |=
ignored (help)