Mtwara (mji)


Mtwara
Mtwara is located in Tanzania
Mtwara
Mtwara

Mahali pa mji wa Mtwara katika Tanzania

Majiranukta: 10°16′12″S 40°11′24″E / 10.27000°S 40.19000°E / -10.27000; 40.19000
Nchi Tanzania
Mkoa Mtwara
Wilaya Mtwara Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 146,772
Sehemu ya magharibi mwa Bahari ya Hindi kama inavyoonekana kutoka Mtwara.

Mtwara ni mji wa Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mtwara wenye postikodi namba 63100 [1].

Mtwara ni mji wa bandari kando ya Bahari Hindi karibu na mpaka wa Tanzania na Msumbiji.

Kiutawala Mtwara ni wilaya ya Mtwara mjini, umeunganishwa pamoja na mji wa kihistoria wa Mikindani katika halmashauri ya manisipaa.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 146,772 [2]. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilikuwa 92,602 [3] .

  1. https://sw.wikipedia.orgview_html.php?sq=Google&lang=sw&q=Mfumo_wa_Msimbo_wa_Posta_Tanzania
  2. https://www.nbs.go.tz/
  3. "Tanzania.go.tz/census/districts/mtwaraurban". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2003-05-03. Iliwekwa mnamo 2003-05-03. {{cite web}}: Unknown parameter |= ignored (help)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy