Muhammad

Mtume Muhammed jinsi alivyotengeneza Kaaba huko Makka - picha mnamo mwaka 1315 kutoka Asia ya Kati
Mtume Muhammed jinsi alivyosali mbele ya Kaaba - (katika picha za Kiosmani uso wa mtume hufichwa mara nyingi tangu karne ya 16 BK)

Muhammad (kwa Kiarabu "Mwenye kusifika sana"; jina kamili kwa kirefu ni
محمد بن عبد الله بن عبد ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ Muhammad bin 'Abd Allāh bin 'Abd al-Muţţalib al-Hāshimī) anaaminika katika dini ya Uislamu kuwa ni mtume wa mwisho wa Mungu (Allah) kwa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy