Muuguzi

Florence Nightingale alikuwa mwanamke aliyechangia sana unesi wa kisasa.[1]

Muuguzi ni mtaalamu wa afya aliyeandaliwa kupitia mfumo maalumu na thabiti wa kitaaluma, kisha kuthibitishwa na kuidhinishwa (na mamlaka iliyopo kisheria / chombo kinachosimamia taaluma hii) kutoa huduma za afya.

Muuguzi anaweza kuwa wa jinsia yoyote. Sambamba na hospitalini, muuguzi anaweza kufanya kazi maeneo tofautitofauti: nyumbani, kwenye jamii, kwenye kampuni na mashirika mbalimbali, shuleni na vyuoni.

Kazi nyingi na muhimu hutekelezwa kwa weledi mkubwa na wauguzi.

  1. Professional Nursing Practice: Concepts and perspective, Koernig & Hayes, sixth edition, 2011, p.100, ISBN|978-0-13-508090-0

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy