Mwanza (mji)


Jiji la Mwanza
Picha ya angani ya Mji wa Mwanza
Picha ya angani ya Mji wa Mwanza
Picha ya angani ya Mji wa Mwanza
Jiji la Mwanza is located in Tanzania
Jiji la Mwanza
Jiji la Mwanza
Majiranukta: 2°31′S 32°54′E / 2.517°S 32.900°E / -2.517; 32.900
Nchi Tanzania
Mkoa Mwanza
Wilaya Nyamagana
Ilemela
Serikali[1]
 - Aina ya serikali Jiji
 - Mstahiki Meya Sima Constantine Sima
 - Mkurugenzi wa Jiji Selemani Yahaya Sekiete
Eneo
 - Jumla 256 km²
 - Kavu 184 km² 
 - Maji 72 km² 
Mwinuko 1,140 m (3,737.7 ft)
Idadi ya wakazi (2022)https://www.nbs.go.tz.
 - Wakazi kwa ujumla 1,004,521
EAT (UTC+3)
Kodi ya simu 028
Tovuti:  Halmashauri ya Jiji la Mwanza
Wilaya za Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 706,453 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).[2]: 173  Mwaka 2022 walihesabiwa 1,004,521 [3].

Jiji hili limekuwa na vivutio mbalimbali vikiwemo mawe yaliyo katika Ziwa Victoria katika eneo la Nyanza. Pia jirani kuna hifadhi za wanyama wa porini kama Sanane, ambapo kuna wanyama kama simba, swala, pundamilia, sokwe,duma na chui

  1. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named MwanzaCC
  2. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Sensa_2012
  3. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy