Mwokozi

Kristo Mkombozi alivyochorwa na Titian (1534 hivi), Palazzo Pitti, Florence, Italia.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Yesu
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Mwokozi katika teolojia ya Ukristo, ni sifa mojawapo ya Yesu kutokana na imani ya kwamba ndiye aliyetekeleza wokovu wa binadamu wote.

Ingawa Injili hazitumii jina hilo, Mtume Paulo alilieneza kupitia nyaraka zake kuhusiana na kifo chake msalabani.[1][2]

Hivyo Agano Jipya linamtaja Yesu Kristo kama Mwokozi mara 16, likisisitiza kuwa ameokoa wote.[3]

Waraka wa kwanza wa Yohane unamtaja kama "kipatanisho cha dhambi zetu, tena si cha dhambi zetu tu, bali cha dhambi za ulimwengu" (1 Yohane 2:2).[4]

Mbali ya Yesu, Agano Jipya linatumia jina hilo kwa Mungu tu (mara 8), wakati Agano la Kale linaita watu mbalimbali kwa jina hilo, kwa sababu ya kuokoa mtu mmoja, wachache au wengi kutoka matatizo mbalimbali.

  1. Leon Morris, 'Redemption' Dictionary of Paul and his Letters (Downers Grove: InterVarsity Press, 1993): 784.
  2. Bruce Demarest, The Cross and Salvation: The Doctrine of Salvation (Wheaton: Crossway Books, 1997): 176.
  3. On Christ's role as universal Saviour, cf. Gerald O'Collins, Salvation for All: God's Other Peoples, OUP (2008).
  4. For this section, and its respective themes and positions, compare Gerald O'Collins, Christology: A Biblical, Historical, and Systematic Study of Jesus, OUP (2009), pp. 297-333. Cf. also O'Collins, Salvation for All: God's Other Peoples, cit.; id., Jesus: A Portrait, Darton, Longman & Todd (2008), Chs 11-12; id., Incarnation, Continuum (2002), pp. 36-42; J.A. Fitzmyer, The Gospel According to Luke I-IX, Doubleday (1981), pp. 79-82; Karl Rahner, Foundations of Christian Faith, trans. W.V. Dych, Darton, Longman & Todd (1978), pp. 193-195, 204-206, 279-280, 316-321.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy