Myanmar


Pyidaunzu Thanmăda Myăma Nainngandaw

Jamhuri ya Muungano wa Myanmar
Bendera ya Myanmar Nembo ya Myanmar
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Kaba Ma Kyei
Lokeshen ya Myanmar
Mji mkuu Naypyidaw1
19°45′ N 96°12′ E
Mji mkubwa nchini Yangon
Lugha rasmi Kiburma
Serikali
Win Myint
Aung San Suu Kyi
Uhuru
Tarehe
4 Januari 1948
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
676,578 km² (ya 40)
3.06%
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 25)
51,486,253
76/km² (ya 125)
Fedha Kyat ya Myanmar (K) (mmK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
MMT (UTC+6:30)
{{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}})
Intaneti TLD .mm
Kodi ya simu +95

-

1Serikali kadhaa hutambua Yangon kama mji mkuu.



Myanmar (pia: Myama; Myamari) ni nchi ya Asia ya Kusini-Mashariki inayojulikana pia kwa jina la Burma au Bama.

Imepakana na China upande wa kaskazini, Laos upande wa mashariki, Uthai kusini-mashariki, Bangladesh na Uhindi magharibi.

Kuna pwani kwenye Bahari Hindi yenye urefu wa km 2,000.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy