Namba za simu Tanzania

Namba za simu nchini Tanzania zinatolewa chini ya kanuni za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communication Regulatory Authority - TCRA).

Mamlaka hii inatoa laiseni kwa ajili ya makampuni ya huduma za mawasiliano pamoja na simu na intaneti. Kanuni zake zinatawala fomati za namba za simu.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy