Nchi za Maziwa Makuu

Maziwa Makuu kutoka angani.

Nchi za Maziwa Makuu ni nchi zinazopakana na maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ambazo ni Tanzania, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya na Uganda.

Kati ya maziwa makubwa yaliyoko katika eneo hili kuna

Eneo hili ni muhimu kimataifa kutokana na bioanwai kubwa: asilimia 10 ya spishi za samaki wote duniani zinapatikana katika maziwa yake.

Maziwa ya Viktoria, Tanganyika na Nyasa hushika robo moja ya maji matamu (yasiyo maji ya chumvi) yaliyopo duniani kote.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy