Niger

Kwa maana nyingine ya neno "Niger" tazama Niger (maana)

République du Niger
Jamhuri ya Niger
Bendera ya Niger Nembo ya Niger
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Fraternité, Travail, Progrès
(Undugu, Kazi, Maendeleo)
Wimbo wa taifa: La Nigerienne
Lokeshen ya Niger
Mji mkuu Niamey
13°32′ N 2°05′ E
Mji mkubwa nchini Niamey
Lugha rasmi Kifaransa
Serikali Jamhuri
Mohamed Bazoum
Ouhoumoudou Mahamadou
Uhuru
imetangazwa
kutoka Ufaransa
3 Agosti 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,267,000 km² (ya 22)
0.02%
Idadi ya watu
 - 2018 kadirio
 - 2012 sensa
 - Msongamano wa watu
 
22,442,831 (ya 61)
17,138,707
12.1/km² (ya 175)
Fedha Franki ya CFA (XOF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+1)
(UTC+2)
Intaneti TLD .ne
Kodi ya simu +227

-


Ramani ya Niger.

Niger (pia Nijeri) ni nchi kubwa zaidi ya Afrika ya Magharibi kwa eneo, lakini 80% ni katika jangwa la Sahara.

Imepakana na Algeria na Libya upande wa kaskazini, Mali na Burkina Faso upande wa magharibi, Chad upande wa mashariki na Nigeria pamoja na Benin upande wa kusini.

Mji mkuu ni Niamey, kusini mwa nchi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy