Njia

Njia ya milimani huko Wilaya ya Shaharah, Yemen.

Njia ni sehemu au eneo wazi jembamba ambalo hutumiwa na watu, wanyama au magari kupita, lakini pia namna au mbinu ya kufanya kazi au kutatua tatizo fulani.

Mithali maarufu ya Kiswahili inasema, "Penye nia pana njia".


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy