Pakistan

اسلامی جمہوریۂ پاکستان
Islāmī Jamhūriya-i-Pākistān

Jhamhuri ya Kiislamu ya Pakistani
Bendera ya Pakistani Nembo ya Pakistani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Iman, Ittehad, Tanzim
(Kiurdu: "Imani, Umoja, Nidhamu")
Wimbo wa taifa: Pak sarzamin shad bad
Lokeshen ya Pakistani
Mji mkuu Islamabad
33°40′ N 73°10′ E
Mji mkubwa nchini Karachi
Lugha rasmi Kiurdu, Kiingereza
Serikali Jamhuri ya Kiislamu
Shirikisho la Jamhuri
Arif Alvi
Shehbaz Sharif
Uhuru
Abbasiya
Dola la Ghazni
Ufalme wa Ghor
Usultani wa Delhi
Dola la Moghul
imetangazwa
Jamhuri
kutoka Uingereza
711-962
9621187
1187-1206
1210-1526
1526-1707
14 Agosti 1947
23 Machi 1956
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
881,912 km² (ya 36)
3.1
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
199,085,847 (ya 6)
260.08/km² (ya 55)
Fedha Rupia (Rs.) (PKR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
PST (UTC+5:00)
haipo (UTC+6:00)
Intaneti TLD .pk
Kodi ya simu +92

-


Ramani ya Pakistan
Ramani ya Pakistan

Pakistani ni nchi ya Asia ya Kusini. Imepakana na Ghuba ya Uarabuni upande wa kusini, Afuganistani na Uajemi upande wa magharibi, Uhindi upande wa mashariki na Uchina kaskazini-mashariki.

Mipaka yake na Uhindi na Uchina haitambuliki kimataifa. Pakistan na Uhindi zote mbili zinadai eneo la Kashmir zikitawala kila moja sehemu za eneo hili.

Jina la Pākistān lina maana ya "nchi ya watu safi" kwa Kiurdu.

Pakistani ina nafasi ya sita kati ya nchi duniani zenye watu wengi.

Ni nchi yenye Waislamu wengi duniani baada ya Indonesia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy