Paraguay

República del Paraguay
Tetã Paraguái

Jamhuri ya Paraguay (au: Paragwai)
Bendera ya Paraguay Nembo ya Paraguay
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: Paz y justicia
("Amani na Haki")
Wimbo wa taifa: Paraguayos, República o Muerte
("Waparaguay, jamuri au mauti")
Lokeshen ya Paraguay
Mji mkuu Asuncion
25°16′ S 57°40′ W
Mji mkubwa nchini Asunción
Lugha rasmi Kihispania, Kiguaraní
Serikali Jamhuri
Mario Abdo Benítez
Uhuru
imetangazwa

14 Mei 1811
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
406,752 km² (ya 60)
2.3%
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
7,012,433 (ya 104)
17.2/km² (ya 204)
Fedha Guarani (PYG)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC-3)
Intaneti TLD .py
Kodi ya simu +595

-


Ramani ya Paraguay
Nyumba mjini Asuncion

Paraguay (pia: Paragwai) ni nchi ya Amerika Kusini isiyo na pwani baharini.

Imepakana na Argentina, Brazil na Bolivia.

Jina la 'Paraguay' limetokana na lugha ya Kiguarani na linamaanisha 'kutoka mto mkubwa'. Mto huu mkubwa ni Parana.

Mji mkuu ni Asuncion ulioundwa mwaka 1537 na Mhispania Juan de Salazar.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy