Piramidi za Giza

29°58′45″N 31°8′4″W / 29.97917°N 31.13444°W / 29.97917; -31.13444

Piramidi kubwa za Giza: upande wa kushuto piramidi ya Mykerinos, katikati ya Khefren na kulia ya Kheops

Piramidi za Giza ni kati ya majengo yanayojulikana zaidi duniani. Pamoja na mava mengine ni sehemu ya makaburi ya Giza yaliyokuwa mahali pa kuzika wafalme wa Misri na wakubwa wa milki yao kwa muda wa miaka 2500.

Ziko kando ya bonde la mto Nile, karibu na mji wa Giza takriban kilometa 15 kutoka Kairo, mji mkuu wa Misri.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy