Rhodesia ya Kusini

Mahali pa Rhodesia Kusini (=Zimbabwe) katika Afrika.
Bendera ya Rhodesia Kusini.
Ugawaji wa kimbari wa ardhi katika Rhodesia Kusini mnamo 1965
nyeupe: ardhi ya walowezi wazungu
buluu:ardhi chini ya mamlaka ya makabila ya Kiafrika
nyekundu:ardhi ya binafsi ya Waafrika
kijani: ardhi ya serikali

Rhodesia ya Kusini ilikuwa koloni la Uingereza katika nchi ya Kusini mwa Afrika iliyopata uhuru kwa jina la "Zimbabwe" tangu mwaka 1980.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy