Rwanda

Kwa maana nyingine za jina hili angalia Ruanda

Jamhuri ya Rwanda (Kiswahili)
Repubulika y'u Rwanda (Kinyarwanda)
Bendera ya Rwanda Nembo la Rwanda
(Bendera ya Rwanda) (Nembo la Rwanda)
Lugha rasmi Kiingereza, Kifaransa, Kinyarwanda, Kiswahili
Mji Mkuu Kigali
Serikali Jamhuri
Rais Paul Kagame
Eneo km² 26,338
Idadi ya wakazi 11,262,564 (Januari 2015)
Wakazi kwa km² 445
Jumla la pato la taifa kinaganaga Bilioni $12.06[1]
Jumla la pato la taifa kwa kila mtu $909.91[1]
Uhuru kutoka Ubelgiji 1 Julai 1962
Pesa Rwanda-Franc
Wimbo wa Taifa Rwanda nziza (Rwanda nzuri)
Rwanda katika Afrika
Ramani ya Rwanda

Rwanda (zamani pia "Ruanda") ni nchi ya Afrika ya Mashariki isiyo na pwani kwenye bahari yoyote.

Imepakana na Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Burundi na Tanzania.

Rwanda ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na wa Umoja wa Afrika.

  1. 1.0 1.1 "World Economic Outlook database: April 2022". imf.org.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy