Sahara ya Magharibi

الجمهورية العربية الصحراوية الديمقراطية
Al-Jumhūrīyâ al-Arabīyâ as-Sahrāwīyâ ad-Dīmuqrātīyâ
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara

Sahara ya Magharibi
Bendera ya Sahara ya Magharibi Nembo la Sahara ya Magharibi
(Bendera) (Nembo)
Lugha rasmi Kiarabu na Kihispania
Mji mkuu El Aaiún
Mji mkubwa El Aaiún
Rais
(wa nje)
Mohamed Abdelaziz
Waziri Mkuu (wa nje) Abdelkader Taleb Oumar
Eneo
 - Jumla
 - % maji

266 000 km²
--
Wakazi
 - Jumla
 - Msongamano wa watu

548,000 (Julai 2003)
1/km²
Uhuru
 - ilitangazwa
 - Nchi kutwaliwa
na Hispania
  27 Februari 1976
 na Moroko
Pesa Dirham ya Moroko
Wakati UTC 0
Wimbo la taifa ?
TLD (mtandaoni) -- (.eh iliwekwa tayari)
simu ya kimataifa + 212. (kama Moroko)
Ramani ya Sahara ya Magharibi

Sahara ya Magharibi ni eneo la Afrika ya Kaskazini-Magharibi kwenye mwambao wa Bahari Atlantiki upande wa magharibi.

Imepakana na Moroko upande wa kaskazini, Algeria upande wa mashariki na Mauretania upande wa kusini.

Ilitangazwa nchi huru mwaka 1976 kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara lakini kwa kiasi kikubwa inatawaliwa na Moroko kama mikoa yake ya kusini.

Nchi nyingi za dunia pamoja na Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika hazitambui Sahara Magharibi kuwa sehemu ya Moroko. Nchi 53 zinaikubali kama Jamhuri huru. Hali halisi sehemu kubwa ya ardhi yake inatawaliwa na Moroko inayodai ni sehemu ya eneo lake la kitaifa.

Sehemu kubwa ya wakazi asilia wako nje ya eneo kama wakimbizi katika makambi makubwa nchini Algeria.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy