Samia Suluhu Hassan

Samia Suluhu Hassan


Rais
Aliingia ofisini 
17 Machi 2021

tarehe ya kuzaliwa 27 Januari 1960 (1960-01-27)
Usultani wa Zanzibar
utaifa Mtanzania
chama Chama Cha Mapinduzi
ndoa Hafidh Ameir
watoto Mwanu Hafidh Ameir,Wanu Hafidh Ameir
mhitimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe
Chuo Kikuu cha Manchester
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
SNHU
dini Uislamu

Samia Suluhu Hassan (alizaliwa 27 Januari 1960) ni Rais wa 6 wa Tanzania na mwanachama wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi.[1]

Kabla ya kuwa rais kutokana na kifo cha John Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021, Suluhu alikuwa makamu wa rais kwa sababu ya kuwa mgombea mwenza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.[2]

Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho, akarudia baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2020.

Sasa amekuwa rais wa kwanza mwanamke na rais wa Pili kutoka Zanzibar Wa kwanza Akiwa ni Ally Hassan Mwinyi Rais wa awamu ya Pili.

  1. "Member of Parliament CV". Bunge la Tazania. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-07-13. Iliwekwa mnamo 19 Februari 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Mgombea mwenza Urais 2015 wa Mhe. John Pombe Magufuli ni..

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy