Samoa

Malo Sa'oloto Tuto'atasi o Samoa
Independent State of Samoa
Bendera ya Samoa Nembo ya Samoa
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Fa'avae i le Atua Samoa
(Samoan: "Samoa is founded on God")
Wimbo wa taifa: The Banner of Freedom
Lokeshen ya Samoa
Mji mkuu Apia
13°35′ S 172°20′ W
Mji mkubwa nchini Apia
Lugha rasmi Samoan, Kiingereza
Serikali Parliamentary democracy
Malietoa Tanumafili II
Uhuru
Tarehe
1 Januari 1962
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,842 km² (174 ya)
0.3%
Idadi ya watu
 - Julai 2012 kadirio
 - 2006 sensa
 - Msongamano wa watu
 
194,320 (166)
179,186
63.2/km² (126 ya)
Fedha Tala (WST)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-11)
(UTC)
Intaneti TLD .ws
Kodi ya simu +685

-



Bendi ya Polisi ya Samoa

Samoa ni nchi ya visiwani ya Polynesia katika Pasifiki ya kusini yenye wakazi 176,710 (2001 sensa). Nchi huru ya Samoa ni sehemu ya magharibi ya funguvisiwa ya Samoa. Sehemu ya mashariki iko chini ya Marekani.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy