San Marino

San Marino


Mtazamo kutoka San Marino hadi bahari ya Adria.

San Marino (kwa Kiitalia maana yake ni "Mtakatifu Marino") ni kati ya nchi ndogo kabisa duniani. Eneo lake lote limo ndani ya mipaka ya Italia, kati ya wilaya za Rimini na Pesaro-Urbino, karibu na mwambao wa bahari ya Adria.

Eneo lote la km² 61,19 ni la milima.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy