Serikali ya kibunge

Serikali ya kibunge ni muundo wa siasa ambako serikali inategemea bunge. Ni tofauti na serikali ya kiraisi au aina kadhaa za ufalme ambako ama rais aliyechaguliwa au mfalme ana madaraka na mamlaka yasiyotegemea wabunge na wabunge hawana uwezo wa kumwondoa kiongozi huyu wakitaka. Isipokuwa kupitia masharti magumu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy