Shelisheli

Republic of the Seychelles (engl.)
République des Seychelles (frz.)
Repiblik Sesel (Seselwa)
Jamhuri ya Shelisheli
Bendera ya Shelisheli Nembo ya Shelisheli
Wito: Finis Coronat Opus.
(Kilatini "Matokeo ni taji la kazi")
Lugha rasmi Seselwa, Kiingereza, Kifaransa
Mji Mkuu Victoria
Serikali Jamhuri
Rais Wavel Ramkalawan[1]
Eneo km² 459
Idadi ya wakazi 97,096 (2018)
Wakazi kwa km² 205.3
Uhuru 29 Juni 1976 (kutoka Uingereza)
Pesa Rupia ya Shelisheli
Wakati UTC +4
Wimbo la taifa Koste Seselwa
Shelisheli katika Afrika
Ramani ya Shelisheli
Mji mkuu Victoria

Shelisheli ni funguvisiwa na jamhuri katika Bahari Hindi, mashariki kwa mwambao wa Afrika Mashariki na kaskazini kwa Madagaska.

  1. https://seychellen.com/en/wavel-ramkalawan-the-new-and-5th-president-of-the-seychelles/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy