Sierra Leone

Republic of Sierra Leone
Bendera ya Sierra Leone Nembo ya Sierra Leone
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unity - Freedom - Justice (Umoja, Uhuru, Haki)
Wimbo wa taifa: High We Exalt Thee, Realm of the Free (Twakusifu nchi ya watu huru)
Lokeshen ya Sierra Leone
Mji mkuu Freetown
8°31′ N 13°15′ W
Mji mkubwa nchini Freetown
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Jamhuri
Julius Maada Bio
Uhuru
kutoka Uingereza
27 Aprili 1961
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
71,740 km² (ya 119)
1.1
Idadi ya watu
 - Julai 2023 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
8,909,040 (ya 100 1)
5,426,618
112/km² (ya 114 1)
Fedha Leone (SLL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
(UTC)
Intaneti TLD .sl
Kodi ya simu +232

-



Sierra Leone ni nchi ya Afrika ya Magharibi.

Imepakana na Guinea na Liberia, upande wa magharibi iko bahari ya Atlantiki.

Jina la nchi lina asili ya Kireno na linamaanisha "Mlima wa Simba".

Ni koloni la zamani la Uingereza na tangu 27 Aprili 1961 ni jamhuri huru.

Sierra Leone ni kati ya nchi maskini sana duniani.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy