Simon Bolivar

Simon Bolivar (Caracas, wakati ule: Granada mpya, leo: Venezuela, 24 Julai 1783 - Santa Marta, Kolombia, 17 Desemba 1830) alikuwa mwanasiasa na mwanajeshi katika Amerika ya Kusini aliyeongoza mapambano dhidi ya ukoloni wa Hispania.

Nchi mbalimbali humkumbuka kama baba wa taifa lao.

Kama jemadari alishinda jeshi la Hispania kati ya miaka 1810 na 1820.

Bolivar alikuwa kwa nyakati mbalimbali


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy