Soko

soko
Soko la kisasa huko Singapore.

Soko ni sehemu ambapo watu huuza na kununua bidhaa. Wakati watu wana bidhaa za kuuza, huanzisha mahali pa kuuzia, inaweza kuwa sehemu maalum.

Neno "soko" linaweza likajumuisha maana kwenye uchumi. Linaweza kumaanisha njia ambayo bidhaa zinauzwa na kununuliwa. "Kuna masoko makubwa kwa ajili ya maosheo ya vyombo" ina maana watu wengi wananunua maosheo ya vyombo. Kwa hiyo biashara ya maosheo ya vyombo inaweza kuingiza pesa nyingi. Na hii huchochea uchumi.

Soko ni mahali muhimu kwa kuwa inao watu wengi. Huenda wakawa wengi sana kama milioni. Kuna aina ya masoko ya watu wengi ndani ya nchi za Afrika, kwa mfano Cairo, Lagos, Kinshasa, Soweto (Johannesburg).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy