Sukari

Aina nne za sukari.
Fuwele za sukari jinsi zinavyoonekana kwa hadubini.

Sukari (kutoka Kar. سكر‎ sukkar, iliyotoka kwenye Sanskrit sharkara) ni dutu tamu inayoungwa katika chakula na vinywaji kwa kusudi la kuzinogesha.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy