Surinam

Republiek Suriname
Jamhuri ya Surinam
Bendera ya Surinam Nembo ya Surinam
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kilatini: Justitia - Pietas - Fides
("Haki - Imani - Uaminifu")
Wimbo wa taifa: Opo kondreman
Lokeshen ya Surinam
Mji mkuu Paramaribo
5°50′ N 55°10′ W
Mji mkubwa nchini Paramaribo
Lugha rasmi Kiholanzi
Serikali Demokrasia
Chan Santokhi
Uhuru
Tarehe

25 Novemba 1975
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
163,821 km² (ya 92)
1.10%
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2012 sensa
 - Msongamano wa watu
 
573,311 (ya 167)
541,638
2.9/km² (ya 231)
Fedha Dollar ya Surinam (SRD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
ART (UTC-3)
(haifuatwi) (UTC-3)
Intaneti TLD .sr
Kodi ya simu +597

-



Ramani ya Surinam (maeneo yanayodaiwa na Surinam lakini kutawaliwa na majirani yana rangi kijani-nyeupe)

Surinam ni nchi huru upande wa kaskazini wa Amerika Kusini. Zamani za ukoloni ilijulikana kama "Guyana ya Kiholanzi".

Imepakana na Guyana, Guyana ya Kifaransa na Brazil.

Kuna pwani ya bahari ya Atlantiki.

Mji mkuu ni Paramaribo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy