Tabora (mji)


Tabora
Tabora is located in Tanzania
Tabora
Tabora

Mahali pa mji wa Tabora katika Tanzania

Majiranukta: 5°0′36″S 32°49′12″E / 5.01000°S 32.82000°E / -5.01000; 32.82000
Nchi Tanzania
Mkoa Tabora
Wilaya Tabora
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 308,741
Mazingira ya Tabora wakati wa mchana katika karne ya 19.

Tabora ni mji wa kihistoria wa Tanzania ya Kati na makao makuu ya mkoa wa Tabora wenye postikodi namba 45100. Eneo lake ni manisipaa yenye hadhi ya wilaya.

Mwaka 2012 palikuwa na wakazi 226,999. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 308,741 [1].

  1. https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy