Tatu

Mabadiliko katika kuandika tatu.

Tatu ni namba ambayo inafuata mbili na kutangulia nne. Kwa kawaida inaandikwa 3 lakini III kwa namba za Kiroma na ٣ kwa zile za Kiarabu.

3 ni namba tasa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy