Tennessee

Sehemu ya Jimbo la Tennessee








Tennessee

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Nashville
Eneo
 - Jumla 109,151 km²
 - Kavu 109,752 km² 
 - Maji 2,399 km² 
Tovuti:  http://www.tennessee.gov/

Tennessee ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Imepakana na Kentucky, Virginia, North Carolina (Carolina Kaskazi), Georgia, Alabama, Mississippi, Arkansas na Missouri. Mipaka asilia ni Mto Mississippi upande wa maghaibi. Mji mkuu ni Nashville na mji mukubwa ni Memphis. Jimbo lina wakazi wapatao 6,214,888 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 109,247.

Gavana ya jimbo ni Phil Bredesen.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy